Tathmini ya Matumizi na Kukubalika kwa Istilahi za Simu kwa Wazungumzaji wa Kiswahili Nchini Tanzania

Kioo cha Lugha Pub Date : 2023-03-24 DOI:10.4314/kcl.v20i2.7
Majura Nyangaywa, P. S. Malangwa
{"title":"Tathmini ya Matumizi na Kukubalika kwa Istilahi za Simu kwa Wazungumzaji wa Kiswahili Nchini Tanzania","authors":"Majura Nyangaywa, P. S. Malangwa","doi":"10.4314/kcl.v20i2.7","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Makala hii inaangazia hali ya matumizi na kukubalika kwa istilahi za Kiswahili za simu za mkononi miongoni mwa wazungumzaji wa Kiswahili nchini Tanzania. Data zilikusanywa kwa mbinu ya usomaji matini, hojaji na usaili kutoka kwa watoataarifa katika kata za Kimara na Ubungo, Dar es Salaam. Nadharia ya Ulinganifu wa Kiathariu ilitumika katika makala hii. Matokeo yanaonesha kuwa baadhi ya wazungumzaji wanakubali kutumia istilahi za Kiswahili za simu na wengine hawakubali. Aidha, makala inabainisha sababu mbalimbali zilizotolewa na kila upande. Makala inapendekeza kuwapo kwa ushirikishwaji wa wazungumzaji wa Kiswahili, wataalamu wa teknolojia ya mawasiliano na wataalamu wa istilahi wakati wa mchakato wa uundaji wa istilahi za Kiswahili za simu za mkononi.","PeriodicalId":208716,"journal":{"name":"Kioo cha Lugha","volume":"1216 24","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2023-03-24","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":"{\"title\":\"Tathmini ya Matumizi na Kukubalika kwa Istilahi za Simu kwa Wazungumzaji wa Kiswahili Nchini Tanzania\",\"authors\":\"Majura Nyangaywa, P. S. Malangwa\",\"doi\":\"10.4314/kcl.v20i2.7\",\"DOIUrl\":null,\"url\":null,\"abstract\":\"Makala hii inaangazia hali ya matumizi na kukubalika kwa istilahi za Kiswahili za simu za mkononi miongoni mwa wazungumzaji wa Kiswahili nchini Tanzania. Data zilikusanywa kwa mbinu ya usomaji matini, hojaji na usaili kutoka kwa watoataarifa katika kata za Kimara na Ubungo, Dar es Salaam. Nadharia ya Ulinganifu wa Kiathariu ilitumika katika makala hii. Matokeo yanaonesha kuwa baadhi ya wazungumzaji wanakubali kutumia istilahi za Kiswahili za simu na wengine hawakubali. Aidha, makala inabainisha sababu mbalimbali zilizotolewa na kila upande. Makala inapendekeza kuwapo kwa ushirikishwaji wa wazungumzaji wa Kiswahili, wataalamu wa teknolojia ya mawasiliano na wataalamu wa istilahi wakati wa mchakato wa uundaji wa istilahi za Kiswahili za simu za mkononi.\",\"PeriodicalId\":208716,\"journal\":{\"name\":\"Kioo cha Lugha\",\"volume\":\"1216 24\",\"pages\":\"0\"},\"PeriodicalIF\":0.0000,\"publicationDate\":\"2023-03-24\",\"publicationTypes\":\"Journal Article\",\"fieldsOfStudy\":null,\"isOpenAccess\":false,\"openAccessPdf\":\"\",\"citationCount\":\"0\",\"resultStr\":null,\"platform\":\"Semanticscholar\",\"paperid\":null,\"PeriodicalName\":\"Kioo cha Lugha\",\"FirstCategoryId\":\"1085\",\"ListUrlMain\":\"https://doi.org/10.4314/kcl.v20i2.7\",\"RegionNum\":0,\"RegionCategory\":null,\"ArticlePicture\":[],\"TitleCN\":null,\"AbstractTextCN\":null,\"PMCID\":null,\"EPubDate\":\"\",\"PubModel\":\"\",\"JCR\":\"\",\"JCRName\":\"\",\"Score\":null,\"Total\":0}","platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Kioo cha Lugha","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.4314/kcl.v20i2.7","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

摘要

在坦桑尼亚,有许多人在学习斯瓦希里语的过程中遇到困难。这些数据基于在达累斯萨拉姆乌本戈的基马拉进行的一项研究的结果。Nadharia ya Ulinganifu wa Kiathariu ilitumika katika makala hii.在达累斯萨拉姆的乌本戈市(Ubungo)举行的 "达累斯萨拉姆大学"(Nadharia ya Ulinganifu wa Kiathariu ilitumika katika makala hii)上进行了培训。在这方面,我们需要做的是,让我们的语言更加丰富多彩,让我们的生活更加丰富多彩。我们还将继续努力,在我们的努力下,我们将在斯瓦希里语领域取得更大的进步,我们将在斯瓦希里语领域取得更大的成就,我们将在斯瓦希里语领域取得更大的进步。
本文章由计算机程序翻译,如有差异,请以英文原文为准。
Tathmini ya Matumizi na Kukubalika kwa Istilahi za Simu kwa Wazungumzaji wa Kiswahili Nchini Tanzania
Makala hii inaangazia hali ya matumizi na kukubalika kwa istilahi za Kiswahili za simu za mkononi miongoni mwa wazungumzaji wa Kiswahili nchini Tanzania. Data zilikusanywa kwa mbinu ya usomaji matini, hojaji na usaili kutoka kwa watoataarifa katika kata za Kimara na Ubungo, Dar es Salaam. Nadharia ya Ulinganifu wa Kiathariu ilitumika katika makala hii. Matokeo yanaonesha kuwa baadhi ya wazungumzaji wanakubali kutumia istilahi za Kiswahili za simu na wengine hawakubali. Aidha, makala inabainisha sababu mbalimbali zilizotolewa na kila upande. Makala inapendekeza kuwapo kwa ushirikishwaji wa wazungumzaji wa Kiswahili, wataalamu wa teknolojia ya mawasiliano na wataalamu wa istilahi wakati wa mchakato wa uundaji wa istilahi za Kiswahili za simu za mkononi.
求助全文
通过发布文献求助,成功后即可免费获取论文全文。 去求助
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术官方微信