A. Buberwa
{"title":"Uchangamani wa Muundo wa Majina ya Watu: Mifano kutoka Lugha ya Kihaya","authors":"A. Buberwa","doi":"10.56279/jk.v85i1.11","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Makala hii inaangazia muundo wa majina ya watu yanayotokana na lugha ya Kihaya. Mjadala kuhusu muundo wa majina hayo unaongozwa na madai kwamba majina ya pekee si nomino halisi (Coates, 2006). Makala hii inalishughulikia suala hili kwa mkabala wa kimofolojia ili kubainisha wazi muundo wa majina tajwa. Data ya makala hii ilikusanywa kwa njia ya usaili kutoka Wilaya ya Bukoba Vijijini, mkoani Kagera. Matokeo yanaonesha kwamba majina ya watu ni vipashio vyenye muundo changamani ambavyo vikirejelewa kama nomino kimofolojia husababisha mkanganyiko wa kidhana. Hoja hii inathibitishwa na miundo mbalimbali ya majina ya watu iliyobainishwa katika makala hii ambayo ni pamoja na majina yenye muundo wa kitenzi, muundo wa kivumishi, muundo ambatani, muundo wa kishazi kiulizi na muundo wa kishazi cha kusihi. Kwa ujumla, ni wazi kwamba si kila kinachotajwa kuwa nomino kisemantiki ni nomino kimofolojia. Hivyo, makala hii inatoa wito wa kuchunguza vipengele vya kiisimu kwa kuzingatia dhana zinazoendana na mkabala unaohusika ili kuepuka mkanganyiko.","PeriodicalId":411809,"journal":{"name":"Jarida la Kiswahili","volume":"1 1","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2022-12-01","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Jarida la Kiswahili","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.56279/jk.v85i1.11","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

摘要

Makala hii inaangazia muundo wa majina ya watu yanayotokana na lugha ya Kihaya.在这些地区,"pekee "和 "nomino halisi "的名称都是 "majadala kuhusu muundo wa majina"(科茨,2006 年)。在此过程中,我们发现了许多新的问题,例如,如何在国家和地区之间建立联系,以及如何在国家和地区之间建立联系。本数据基于从卡盖拉省布科巴-维吉吉尼地区收集到的数据。在此过程中,我们发现了许多新的问题,其中包括:"我们如何才能更好地利用这些数据"、"我们如何才能更好地利用这些数据"、"我们如何才能更好地利用这些数据"、"我们如何才能更好地利用这些数据"、"我们如何才能更好地利用这些数据"、"我们如何才能更好地利用这些数据"。我们的目标是,在我们的国家里,让更多的人了解我们,让更多的人了解我们,让更多的人了解我们。Hivyo, makala hii inatoa wito wa kuchunguza vipengele vya kiisimu kwa kuzingatia dhana zinazoendana na mkabala unaohusika ili kuepuka mkanganyiko.
本文章由计算机程序翻译,如有差异,请以英文原文为准。
Uchangamani wa Muundo wa Majina ya Watu: Mifano kutoka Lugha ya Kihaya
Makala hii inaangazia muundo wa majina ya watu yanayotokana na lugha ya Kihaya. Mjadala kuhusu muundo wa majina hayo unaongozwa na madai kwamba majina ya pekee si nomino halisi (Coates, 2006). Makala hii inalishughulikia suala hili kwa mkabala wa kimofolojia ili kubainisha wazi muundo wa majina tajwa. Data ya makala hii ilikusanywa kwa njia ya usaili kutoka Wilaya ya Bukoba Vijijini, mkoani Kagera. Matokeo yanaonesha kwamba majina ya watu ni vipashio vyenye muundo changamani ambavyo vikirejelewa kama nomino kimofolojia husababisha mkanganyiko wa kidhana. Hoja hii inathibitishwa na miundo mbalimbali ya majina ya watu iliyobainishwa katika makala hii ambayo ni pamoja na majina yenye muundo wa kitenzi, muundo wa kivumishi, muundo ambatani, muundo wa kishazi kiulizi na muundo wa kishazi cha kusihi. Kwa ujumla, ni wazi kwamba si kila kinachotajwa kuwa nomino kisemantiki ni nomino kimofolojia. Hivyo, makala hii inatoa wito wa kuchunguza vipengele vya kiisimu kwa kuzingatia dhana zinazoendana na mkabala unaohusika ili kuepuka mkanganyiko.
求助全文
通过发布文献求助,成功后即可免费获取论文全文。 去求助
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术官方微信