Peter Willington Kilonzo, Nabeta K. N. Sangili
{"title":"Wingilugha na Maendeleo Endelevu katika Kaunti Nchini Kenya: Hali Halisi katika Kaunti ya Machako","authors":"Peter Willington Kilonzo, Nabeta K. N. Sangili","doi":"10.37284/jammk.5.2.991","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Ulimwenguni kote, lugha imekuwa na bado inaendelea kuwa raslimali muhimu katika maendeleo ya sehemu yoyote ile. Kwa watu wengine, lugha ni mtaji katika shughuli zozote za kimaendeleo kwa sababu bila lugha inayoeleweka na washiriki husika hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana na iwapo yatafanyika, kasi yake itakuwa ya chini sana. Katiba ya 2010 ilifanya mabadiliko mengi na mojawapo ni kukifanya Kiswahili kuwa lugha rasmi sawa na Kiingereza. Katiba hii pia ilitengeneza serikali 47 za magatuzi ambazo zina upekee wake wa utamaduni, lugha ikiwa sehemu muhimu ya utamaduni wa Kaunti hizi. Hivyo, angalau kila Kaunti ina lugha tatu zinazozungumzwa humo. Zaidi ya lugha husika tatu, shughuli tofauti zimechangia watu wa jamii mbalimbali kuhamia na kutagusana katika Kaunti tofauti na za kwao, jambo linalosababisha wingilugha dhahiri katika Kaunti zote nchini Kenya. Katika hali hii, swali kuu linakuwa ni: je, lugha ikiwa ni raslimali na mtaji muhimu katika maendeleo, wingilugha unaweza kutumika vipi katika muktadha wa Kaunti ili kuhakikisha maendeleo endelevu? Swali hili linakuwa msingi mkuu wa makala haya kuangazia jinsi wingilugha (Kiswahili, Kiingereza, Lugha asili, na lugha nyinginezo) unavyoweza kutumika katika muktadha wa Kaunti nchini Kenya ili kuhakikisha maendeleo endelevu katika kila Kaunti. Utafiti umejikita katika Kaunti ya Machakos.","PeriodicalId":112928,"journal":{"name":"East African Journal of Swahili Studies","volume":"1 1","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2022-12-04","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"East African Journal of Swahili Studies","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.37284/jammk.5.2.991","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

摘要

在此情况下,我们需要做的是,在我们的工作岗位上,我们要做的是,在我们的工作岗位上,我们要做的是,在我们的工作岗位上,我们要做的是,在我们的工作岗位上,我们要做的是,在我们的工作岗位上,我们要做的是,在我们的工作岗位上,我们要做的是。在过去的几年里,我们的工作是,在我们的工作岗位上,我们要做的是,让我们的工作更有价值,让我们的工作更有意义,让我们的工作更有价值。2010 年,我们在斯瓦希里语的基础上增加了新的语言,即 "Kiingereza"。在第 47 号决议中,政府提出了 "在国家发展计划的框架内,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中,在国家发展计划的实施过程中"。现在,Kaunti 已成为 "zinazozungumzwa humo "的一部分。在肯尼亚,肯尼亚政府将继续支持肯尼亚社会的发展。请问,在肯尼亚,你是否知道,在肯尼亚,你有什么需要帮助的地方?肯尼亚的肯尼亚语、基辅语、卢加语和肯尼亚宁语都是肯尼亚的语言,但在肯尼亚的肯尼亚语学习中,这些语言都被视为肯尼亚的语言,而在肯尼亚的肯尼亚语学习中,这些语言都被视为肯尼亚的语言。Utafiti umejikita katika Kaunti ya Machakos.
本文章由计算机程序翻译,如有差异,请以英文原文为准。
Wingilugha na Maendeleo Endelevu katika Kaunti Nchini Kenya: Hali Halisi katika Kaunti ya Machako
Ulimwenguni kote, lugha imekuwa na bado inaendelea kuwa raslimali muhimu katika maendeleo ya sehemu yoyote ile. Kwa watu wengine, lugha ni mtaji katika shughuli zozote za kimaendeleo kwa sababu bila lugha inayoeleweka na washiriki husika hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana na iwapo yatafanyika, kasi yake itakuwa ya chini sana. Katiba ya 2010 ilifanya mabadiliko mengi na mojawapo ni kukifanya Kiswahili kuwa lugha rasmi sawa na Kiingereza. Katiba hii pia ilitengeneza serikali 47 za magatuzi ambazo zina upekee wake wa utamaduni, lugha ikiwa sehemu muhimu ya utamaduni wa Kaunti hizi. Hivyo, angalau kila Kaunti ina lugha tatu zinazozungumzwa humo. Zaidi ya lugha husika tatu, shughuli tofauti zimechangia watu wa jamii mbalimbali kuhamia na kutagusana katika Kaunti tofauti na za kwao, jambo linalosababisha wingilugha dhahiri katika Kaunti zote nchini Kenya. Katika hali hii, swali kuu linakuwa ni: je, lugha ikiwa ni raslimali na mtaji muhimu katika maendeleo, wingilugha unaweza kutumika vipi katika muktadha wa Kaunti ili kuhakikisha maendeleo endelevu? Swali hili linakuwa msingi mkuu wa makala haya kuangazia jinsi wingilugha (Kiswahili, Kiingereza, Lugha asili, na lugha nyinginezo) unavyoweza kutumika katika muktadha wa Kaunti nchini Kenya ili kuhakikisha maendeleo endelevu katika kila Kaunti. Utafiti umejikita katika Kaunti ya Machakos.
求助全文
通过发布文献求助,成功后即可免费获取论文全文。 去求助
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术官方微信