{"title":"Dosari za Kisarufi katika Maandishi ya Kiswahili Sanifu ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Burundi","authors":"Dieudonné Butoyi, Zelda Elisifa","doi":"10.56279/jk.v86i2.1","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Utafiti huu ulichunguza utamalaki wa dosari za kisarufi zinazofanywa na wanafunzi wanaojifunza Kiswahili kwenye vyuo vikuu vya Burundi. Uchunguzi huu uliozingatia matini za kimaandishi ulifanyika kwa kutumia Nadharia ya Uchanganuzi Makosa (UM) ya Corder (1967) ambayo imeboreshwa na wanaisimu wa siku za karibuni kama Gass na Selinker (2008), Mahmoodzadeh (2012) na Al-khreshen (2015) ili kuchunguza na kutathmini makosa. Sampuli ya wanafunzi mia moja (100) ilitumika na data ilikusanywa kwa kutumia mbinu ya uchunguzi matini. Matokeo ya uchunguzi huu yamedhihirisha jumla ya dosari za kisarufi 981 zilizogawanyika katika aina nne ambazo ni: (a) dosari za kifonolojia kwa kiasi cha 37.2%, (b) dosari za kimaumbo kwa kiasi cha 21.8%, (c) dosari za kisintaksia na kimofosintakisia kwa kiasi cha 30.1%, na (d) dosari za kimsamiati 10.9%. Viwango vya utamalaki wa dosari katika matumizi ya kimaandishi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Burundi hasa ya kifonolojia na kimofosintaksia vimedhihirisha kuwa kunahitajika hatua za haraka za uboreshaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, walimu na mbinu thabiti katika ufundishaji wa somo la Kiswahili.","PeriodicalId":411809,"journal":{"name":"Jarida la Kiswahili","volume":"14 1","pages":""},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2024-04-10","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Jarida la Kiswahili","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.56279/jk.v86i2.1","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0
Abstract
Utafiti huu ulichunguza utamalaki wa dosari za kisarufi zinazofanywa na wanafunzi wanaojifunza Kiswahili kwenye vyuo vikuu vya Burundi. Uchunguzi huu uliozingatia matini za kimaandishi ulifanyika kwa kutumia Nadharia ya Uchanganuzi Makosa (UM) ya Corder (1967) ambayo imeboreshwa na wanaisimu wa siku za karibuni kama Gass na Selinker (2008), Mahmoodzadeh (2012) na Al-khreshen (2015) ili kuchunguza na kutathmini makosa. Sampuli ya wanafunzi mia moja (100) ilitumika na data ilikusanywa kwa kutumia mbinu ya uchunguzi matini. Matokeo ya uchunguzi huu yamedhihirisha jumla ya dosari za kisarufi 981 zilizogawanyika katika aina nne ambazo ni: (a) dosari za kifonolojia kwa kiasi cha 37.2%, (b) dosari za kimaumbo kwa kiasi cha 21.8%, (c) dosari za kisintaksia na kimofosintakisia kwa kiasi cha 30.1%, na (d) dosari za kimsamiati 10.9%. Viwango vya utamalaki wa dosari katika matumizi ya kimaandishi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Burundi hasa ya kifonolojia na kimofosintaksia vimedhihirisha kuwa kunahitajika hatua za haraka za uboreshaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, walimu na mbinu thabiti katika ufundishaji wa somo la Kiswahili.
Dosari za Kisarufi katika Maandishi ya Kiswahili Sanifu ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Burundi
布隆迪的斯瓦希里语语言在世界范围内被广泛使用。Nadharia's Uchanganuzi Makosa (UM) and Corder's (1967) imeboreshwa na wanaisimu wa siku za karibuni kama Gass na Selinker (2008), Mahmoodzadeh (2012) na Al-khreshen (2015) ili kuchunguza na kutathmini makosa.为收集数据,共分析了 100 组数据。数据收集的结果显示,共有 981 个数据集:(a) kifonolojia kwa kiasi cha 37.2%,(b) kimaumbo kwa kiasi cha 21.8%,(c) kisintaksia na kimofosintakisia kwa kiasi cha 30.1%,(d) kimsamiati 10.9%。在布隆迪,有许多人认为,布隆迪是一个 "不平等的国家",他们认为布隆迪是一个 "不平等的国家",他们认为布隆迪是一个 "不平等的国家"。