Matamko Tendi na Athari Zake kwa Wahusika katika Riwaya za Ken Walibora

Asca Monica Koko, Juliet Akinyi Jagero, N. N. Musembi
{"title":"Matamko Tendi na Athari Zake kwa Wahusika katika Riwaya za Ken Walibora","authors":"Asca Monica Koko, Juliet Akinyi Jagero, N. N. Musembi","doi":"10.37284/jammk.5.1.799","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Matamko tendi (MT) ni vitendo vinavyotekelezwa kwa kuvitamka tu kwa sauti. Katika matamko tendi msemaji huwa ametenda kupitia kuzungumza. Riwaya inatarajiwa kuwa na usimulizi hata hivyo dayolojia huweza kutokea katika riwaya. Kutokana na hayo, makala hii inanuia kuchunguza matamko tendi yanayopatikana katika dayolojia baina ya wahusika katika riwaya za Walibora. Makala hii inalenga kuchanganua matamko tendi na athari zake katika riwaya za Walibora. Makala iliongozwa na Nadharia ya Vitendo usemi.  Sampuli dhamirifu ilitumika kuteua riwaya nne za Walibora huku sampuli dabwadabwa ikitumika kuteua MT kutoka riwaya hizo. Mbinu ya unukuzi ilitumiwa kudondoa sehemu za matini na kuwekwa kwenye jedwali la matukio. Data zilichanganuliwa kwa kutumia mbinu ya kimaelezo kulingana na madhumuni ya makala na kuwasilishwa kwa njia ya maelezo na majedwali. Makala ilionyesha kwamba wahusika waliathiriwa na matamko kwa njia chanya hasa matamko ya furaha na kujenga mahusiano katika jamii. Uchanganuzi wa MT una umuhimu katika usomaji, uchanganuzi na ufasiriaji wa mazungumzo ya wahusika na maana anayonuia mwandishi wa Riwaya.","PeriodicalId":112928,"journal":{"name":"East African Journal of Swahili Studies","volume":"29 1","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2022-08-19","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"East African Journal of Swahili Studies","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.37284/jammk.5.1.799","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

Abstract

Matamko tendi (MT) ni vitendo vinavyotekelezwa kwa kuvitamka tu kwa sauti. Katika matamko tendi msemaji huwa ametenda kupitia kuzungumza. Riwaya inatarajiwa kuwa na usimulizi hata hivyo dayolojia huweza kutokea katika riwaya. Kutokana na hayo, makala hii inanuia kuchunguza matamko tendi yanayopatikana katika dayolojia baina ya wahusika katika riwaya za Walibora. Makala hii inalenga kuchanganua matamko tendi na athari zake katika riwaya za Walibora. Makala iliongozwa na Nadharia ya Vitendo usemi.  Sampuli dhamirifu ilitumika kuteua riwaya nne za Walibora huku sampuli dabwadabwa ikitumika kuteua MT kutoka riwaya hizo. Mbinu ya unukuzi ilitumiwa kudondoa sehemu za matini na kuwekwa kwenye jedwali la matukio. Data zilichanganuliwa kwa kutumia mbinu ya kimaelezo kulingana na madhumuni ya makala na kuwasilishwa kwa njia ya maelezo na majedwali. Makala ilionyesha kwamba wahusika waliathiriwa na matamko kwa njia chanya hasa matamko ya furaha na kujenga mahusiano katika jamii. Uchanganuzi wa MT una umuhimu katika usomaji, uchanganuzi na ufasiriaji wa mazungumzo ya wahusika na maana anayonuia mwandishi wa Riwaya.
求助全文
约1分钟内获得全文 求助全文
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术官方微信