Wahusika na Motifu ya Siri katika Nathari Teule za Fasihi za Kiswahili

Beatrice Nyambura Njeru, John M. Kobia, Allan Mugambi
{"title":"Wahusika na Motifu ya Siri katika Nathari Teule za Fasihi za Kiswahili","authors":"Beatrice Nyambura Njeru, John M. Kobia, Allan Mugambi","doi":"10.37284/jammk.5.1.782","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Wahusika ni viumbe muhimu katika ujenzi wa kazi ya fasihi. Mhusika ni mtendaji katika kazi ya kifasihi na huwa ni kielelezo cha viumbe wanaopatikana ulimwenguni ingawa si lazima sifa zote za mhusika zifungamane na za binadamu. Ni picha ambayo huchorwa na fasihi na ni kiini cha vitu vipya, dhamira na mada katika fasihi.  Kwa hivyo, wahusika si watu halisi bali ni watu wa kubuni. Mwandishi huchora viumbe anaowatwika majukumu ya kutenda na kusema kama binadamu na kupitia kwao huwasilisha dhamira yake. Dhamira hii hukuzwa na kuwepo kwa masuala makuu ambayo huwasilishwa kwa hadhira lengwa na kufanikisha lengo kuu la utunzi wa kazi ya fasihi. Makala haya yanalenga kuchunguza namna ambavyo wahusika huingiliana kutoka kwa matini moja hadi nyingine katika nathari teule za fasihi ya Kiswahili. Mwingilianomatini hubainisha kuwa matini moja inaweza kuhusiana na matini nyingine katika viwango mbalimbali kama vile usawiri wa wahusika, usawiri wa mandhari, maudhui na mtindo wa uandishi. Sampuli maksudi ilitumika kuteua vitabu saba kwa msingi kuwa vina dhana ya siri katika uteuzi wa mada. Vitabu hivi ambavyo ni Nataka Iwe Siri, Sitaki Iwe Siri, Siri Ya Baba Yangu Kitabu 1, Siri Ya Baba Yangu 2, Siri Sirini 1, Siri Sirini 2 na Siri Sirini 3 vimedhihirisha kuwa kuna siri ambazo zimejengwa na wahusika katika bunilizi teule na kufanikisha motifu ya siri. Uchanganuzi na uwasilishwaji wa data itakayopatikana kutokana na usomaji wa kazi teule utakuwa wa kimaelezo. Makala haya yatawafaa wahakiki kwa kuwapa mwanga wa namna ya kuhakiki kazi zinazohusiana na siri na kuchunguza namna wahusika wanavyoweza kuingiliana kwa namna tofauti na kufanikisha ujenzi wa motifu ya siri. Aidha walimu na wanafunzi wa viwango vyote watafaidika kwa sababu wataelewa kazi teule zaidi. Waandishi nao watafaidika kutokana na makala haya kwa sababu watayatumia kama kifaa cha kutunga kazi za baadaye za kiwango cha juu zaidi kuhusiana na motifu ya siri. Vilevile makala haya yatatoa mchango mkubwa katika taaluma ya fasihi ya Kiswahili kwa kuwa yataongeza maarifa mapya kuhusu  namna wahusika wanaweza kuingiliana na kukuza kazi za kibunilizi zilizo na motifu mbalimbali.","PeriodicalId":112928,"journal":{"name":"East African Journal of Swahili Studies","volume":"2 1","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2022-08-08","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"East African Journal of Swahili Studies","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.37284/jammk.5.1.782","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

Abstract

Wahusika ni viumbe muhimu katika ujenzi wa kazi ya fasihi. Mhusika ni mtendaji katika kazi ya kifasihi na huwa ni kielelezo cha viumbe wanaopatikana ulimwenguni ingawa si lazima sifa zote za mhusika zifungamane na za binadamu. Ni picha ambayo huchorwa na fasihi na ni kiini cha vitu vipya, dhamira na mada katika fasihi.  Kwa hivyo, wahusika si watu halisi bali ni watu wa kubuni. Mwandishi huchora viumbe anaowatwika majukumu ya kutenda na kusema kama binadamu na kupitia kwao huwasilisha dhamira yake. Dhamira hii hukuzwa na kuwepo kwa masuala makuu ambayo huwasilishwa kwa hadhira lengwa na kufanikisha lengo kuu la utunzi wa kazi ya fasihi. Makala haya yanalenga kuchunguza namna ambavyo wahusika huingiliana kutoka kwa matini moja hadi nyingine katika nathari teule za fasihi ya Kiswahili. Mwingilianomatini hubainisha kuwa matini moja inaweza kuhusiana na matini nyingine katika viwango mbalimbali kama vile usawiri wa wahusika, usawiri wa mandhari, maudhui na mtindo wa uandishi. Sampuli maksudi ilitumika kuteua vitabu saba kwa msingi kuwa vina dhana ya siri katika uteuzi wa mada. Vitabu hivi ambavyo ni Nataka Iwe Siri, Sitaki Iwe Siri, Siri Ya Baba Yangu Kitabu 1, Siri Ya Baba Yangu 2, Siri Sirini 1, Siri Sirini 2 na Siri Sirini 3 vimedhihirisha kuwa kuna siri ambazo zimejengwa na wahusika katika bunilizi teule na kufanikisha motifu ya siri. Uchanganuzi na uwasilishwaji wa data itakayopatikana kutokana na usomaji wa kazi teule utakuwa wa kimaelezo. Makala haya yatawafaa wahakiki kwa kuwapa mwanga wa namna ya kuhakiki kazi zinazohusiana na siri na kuchunguza namna wahusika wanavyoweza kuingiliana kwa namna tofauti na kufanikisha ujenzi wa motifu ya siri. Aidha walimu na wanafunzi wa viwango vyote watafaidika kwa sababu wataelewa kazi teule zaidi. Waandishi nao watafaidika kutokana na makala haya kwa sababu watayatumia kama kifaa cha kutunga kazi za baadaye za kiwango cha juu zaidi kuhusiana na motifu ya siri. Vilevile makala haya yatatoa mchango mkubwa katika taaluma ya fasihi ya Kiswahili kwa kuwa yataongeza maarifa mapya kuhusu  namna wahusika wanaweza kuingiliana na kukuza kazi za kibunilizi zilizo na motifu mbalimbali.
求助全文
约1分钟内获得全文 求助全文
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术官方微信