Lugha ya Kiswahili na Ukombozi wa Kifikra katika Afrika: Mkabala wa Kimapinduzi wa Frantz Fanon

Utafiti Pub Date : 2021-10-29 DOI:10.1163/26836408-15020047
A. Mutembei
{"title":"Lugha ya Kiswahili na Ukombozi wa Kifikra katika Afrika: Mkabala wa Kimapinduzi wa Frantz Fanon","authors":"A. Mutembei","doi":"10.1163/26836408-15020047","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"\nUchaguzi wa mtu kuitumia lugha yake kama njia ya ukombozi huanza na uamuzi wa kifikra. Uamuzi huo wa kifikra ni hatua ya ukombozi. Ni uamuzi ambao hatimaye humpa mtumiaji wa lugha mamlaka ya kuchukua hatua zaidi za kujitegemea. Ni ukombozi wa kiisimu ambao, hatimaye humpatia mtumiaji wa lugha nguvu binafsi. Lugha ni mamlaka; na wakati mwingi mamlaka huzaa nguvu. Ingawa hapa ‘nguvu’ inamaanisha uwezo wa mtu binafsi; na ‘mamlaka’ ni dhana ya kisheria, lakini dhana hizi mbili zinahusiana katika uchambuzi huu wa kujenga uwezeshaji kupitia matumizi ya lugha. Katika kuchunguza mawazo ya Frantz Fanon kuhusu dhana ya ukombozi wa fikra kwa Waafrika kama inavyojitokeza kupitia Lugha ya Kiswahili, nadharia ya Bobby Wright ya fikraufu inatoa nafasi kuangalia namna utambulisho wa watu unavyoweza kubomolewa kupitia matumizi ya lugha isiyokuwa ya asili kwao.","PeriodicalId":85828,"journal":{"name":"Utafiti","volume":"2014 1","pages":""},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2021-10-29","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Utafiti","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.1163/26836408-15020047","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

Abstract

Uchaguzi wa mtu kuitumia lugha yake kama njia ya ukombozi huanza na uamuzi wa kifikra. Uamuzi huo wa kifikra ni hatua ya ukombozi. Ni uamuzi ambao hatimaye humpa mtumiaji wa lugha mamlaka ya kuchukua hatua zaidi za kujitegemea. Ni ukombozi wa kiisimu ambao, hatimaye humpatia mtumiaji wa lugha nguvu binafsi. Lugha ni mamlaka; na wakati mwingi mamlaka huzaa nguvu. Ingawa hapa ‘nguvu’ inamaanisha uwezo wa mtu binafsi; na ‘mamlaka’ ni dhana ya kisheria, lakini dhana hizi mbili zinahusiana katika uchambuzi huu wa kujenga uwezeshaji kupitia matumizi ya lugha. Katika kuchunguza mawazo ya Frantz Fanon kuhusu dhana ya ukombozi wa fikra kwa Waafrika kama inavyojitokeza kupitia Lugha ya Kiswahili, nadharia ya Bobby Wright ya fikraufu inatoa nafasi kuangalia namna utambulisho wa watu unavyoweza kubomolewa kupitia matumizi ya lugha isiyokuwa ya asili kwao.
求助全文
约1分钟内获得全文 求助全文
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:604180095
Book学术官方微信