Maono ya Bonde la Kilombero, Tanzania

Utafiti Pub Date : 2023-11-03 DOI:10.1163/26836408-15020081
Jonathan M. Jackson, Francis Ching’ota
{"title":"Maono ya Bonde la Kilombero, Tanzania","authors":"Jonathan M. Jackson, Francis Ching’ota","doi":"10.1163/26836408-15020081","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Ikisiri Makala hii inaangazia historia ya maendeleo ya bonde la Kilombero na hasa, dira juu ya maendeleo ya bonde hili lililoko kusini-kati mwa Tanzania. Tangu kipindi cha mwanzo cha ukoloni, bonde lilisifiwa kuwa na rutuba ya kutosha na mipango mingi iliandaliwa kuitumia rutuba hiyo kwa uzalishaji mazao. Matumizi ya ardhi hii yalitarajiwa kuleta mageuzi makubwa vijijini na kuboresha maisha ya watu. Ili kuelewa vyema dhima na umuhimu wa mipango ya awali juu ya bonde la Kilombero, makala hii inaangazia historia ya maendeleo kupitia mipango ya siku za nyuma ili kuona namna mipango hiyo ilivyosaidia maendeleo ya sasa na siku zijazo. Dhamira kuu nne za historia ya maendeleo zimeainishwa na kujadiliwa. Dhamira hizo ni: uimarishaji wa kilimo; udhibiti wa ikolojia; miundombinu; na makazi. Makala hii inaleta mtazamo mpya kuhusu Kilombero, lakini mtazamo huo unaweza kutumiwa katika historia ya maendeleo ya mahali popote nchini Tanzania.","PeriodicalId":85828,"journal":{"name":"Utafiti","volume":"19 10","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2023-11-03","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Utafiti","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.1163/26836408-15020081","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

Abstract

Ikisiri Makala hii inaangazia historia ya maendeleo ya bonde la Kilombero na hasa, dira juu ya maendeleo ya bonde hili lililoko kusini-kati mwa Tanzania. Tangu kipindi cha mwanzo cha ukoloni, bonde lilisifiwa kuwa na rutuba ya kutosha na mipango mingi iliandaliwa kuitumia rutuba hiyo kwa uzalishaji mazao. Matumizi ya ardhi hii yalitarajiwa kuleta mageuzi makubwa vijijini na kuboresha maisha ya watu. Ili kuelewa vyema dhima na umuhimu wa mipango ya awali juu ya bonde la Kilombero, makala hii inaangazia historia ya maendeleo kupitia mipango ya siku za nyuma ili kuona namna mipango hiyo ilivyosaidia maendeleo ya sasa na siku zijazo. Dhamira kuu nne za historia ya maendeleo zimeainishwa na kujadiliwa. Dhamira hizo ni: uimarishaji wa kilimo; udhibiti wa ikolojia; miundombinu; na makazi. Makala hii inaleta mtazamo mpya kuhusu Kilombero, lakini mtazamo huo unaweza kutumiwa katika historia ya maendeleo ya mahali popote nchini Tanzania.
坦桑尼亚基隆贝罗的毛诺亚邦德
Ikisiri Makala inaangazia historia ya maendeleo ya bonde la Kilombero na hasa, dira juu ya maendeleo ya bonde hili lililoko kusini-kati mwa Tanzania.在这种情况下,你必须为自己的劳动付出代价,你必须为自己家人的劳动付出代价。Ili kuelewa vyema dhima na umuhimu wa mipango ya awali juu ya bonde la Kilombero, makala hii inaangazia historia ya maendeleo kupitia mipango ya siku za nyuma ili kuona namna mipango hiyo ilivyosaidia maendeleo ya sasa na siku zijazo.我不知道这段历史是怎么回事,但我相信有很多值得一说的地方。我们有以下几点:aimarishaji wa kilimo;udhibiti wa ikolojia;miundombinu;na makazi。在坦桑尼亚的历史上,基隆贝罗是一个非常重要的地方。
本文章由计算机程序翻译,如有差异,请以英文原文为准。
求助全文
约1分钟内获得全文 求助全文
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
确定
请完成安全验证×
copy
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
右上角分享
点击右上角分享
0
联系我们:info@booksci.cn Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。 Copyright © 2023 布克学术 All rights reserved.
京ICP备2023020795号-1
ghs 京公网安备 11010802042870号
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术官方微信